Wastara Aamua Kuwasaidia Wanawake Wenye Maisha Magumu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wastara Aamua Kuwasaidia Wanawake Wenye Maisha Magumu
Msanii wa Filamu nchini Wastara Juma, amesema kuwa ameamua kujitolea kusaidia wanawake wote wenye maisha magumu wakiwemo wanaoishi katika mazingira hatarishi, waliozalishwa na kutelekezwa na wenye matatizo mbalimbali.

Wastara ambaye ni balozi wa kusaidia wanawake nchini, ameshatembelea nchi mbalimbali ikiwemo Kongo na Burundi, kukusanya taarifa za wanawake wanaoishi kwenye mazingira magumu, amesema yeye kama mwanamke anaguswa na matatizo ya wanawake wenzake hivyo ana kila sababu ya kuwasaidia ili nao waishi katika maisha ya raha kama watu wengine.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad