AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tukio hili linaelezwa kuwa sehemu ya vita vya wenyewe kwa wenyewe ambapo kwa sasa serikali ya nchi hiyo inataka kuukomboa mji wa Ghouta Mashariki ambao unashikiliwa na kikundi cha waasi.
Inasemekana kuwa ndege aina ya rocket zinazomilikiwa na waasi hao ndizo zilizorusha na kulipua eneo hilo la soko na kusababisha maafa hayo huku 20 wengine wakijeruhiwa.
Jitihada hizo za serikali ya Syria kuchukua eneo hilo la Ghouta Mashariki ambapo ni makazi kwa watu takribani 400,000 kutoka kwa waasi, zimesababisha vifo vya 1,400 huku watu 45,000 wakikimbia makazi yao.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK