AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Naibu Waziri Kakunda ametoa kauli hiyo na kueleza kuwa mfanyakazi wa umma anaweza kushtakiwa kwa kosa la kiutumishi na kosa la kijinai, endapo itabainika miradi anayoisimamia imetekelezwa chini ya kiwango.
Waziri Kakunda ameendelea kusema kwamba kuwa lengo la serikali ni kuhakikisha wananchi wanapata huduma stahiki wanazotakiwa kuzipata kutokana na miradi ya maendeleo, hivyo kutosimamia kikamilifu miradi hiyo ni moja ya makosa ambayo mfanyakazi wa umma anaweza kushtakiwa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK