Watumishi wa Umma Kushtakiwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watumishi wa umma kushtakiwa
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Joseph Kakunda amesema kwamba watumishi wa umma wanapaswa kutekeleza na kusimamia ipasavyo miradi mbalimbali, ili kuepusha serikali na hasara na athari za kiuchumi na kijamii.


Naibu Waziri Kakunda ametoa kauli hiyo na kueleza  kuwa mfanyakazi wa umma anaweza kushtakiwa kwa kosa la kiutumishi na kosa la kijinai, endapo itabainika miradi anayoisimamia imetekelezwa chini ya kiwango.

Waziri Kakunda ameendelea kusema kwamba kuwa lengo la serikali ni kuhakikisha wananchi wanapata huduma stahiki wanazotakiwa kuzipata kutokana na miradi ya maendeleo, hivyo kutosimamia kikamilifu miradi hiyo ni moja ya makosa ambayo mfanyakazi wa umma anaweza kushtakiwa.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad