Wauza Dawa za Kulevya Kuanza Kuuwawa Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wauza Dawa za Kulevya Kuanza Kuuwawa Marekani
Matumizi ya dawa za kulevya bado ni gumzo kwa nchi mbalimbali duniani, jambo ambalo limekuwa likikabiliwa na nchi husika kwa kuweka sheria na adhabu zitakazo wajibisha wanaohusika na uuzaji na utumiaji.

Rais Donald Trump wa Marekani siku za hivi karibuni ametangaza kuwahukumu adhabu ya kifo watu wote watakaokutwa na hatia ya kuhusika na kuuza au kutumia dawa za kulevya.

Mpango huu wa Rais Trump umeelekezwa katika Idara ya Haki ya nchini humo kuwahukumu kifo madaktari, maduka ya dawa na watengeneza dawa ambao watakutwa wakijihusisha kwa namna yoyote ili na dawa za kulevya.

Inaelezwa kuwa Wamarekani zaidi ya Milioni 2.4 wamekuwa ‘mateja’ wa drugs, 42,000 waalikuwa kwa dawa hizo za kulevya mwaka 2016 na kujizidishia dawa imekuwa sababu iliyozoeleka ya vifo vingi nchini humo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad