AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Donald Trump wa Marekani siku za hivi karibuni ametangaza kuwahukumu adhabu ya kifo watu wote watakaokutwa na hatia ya kuhusika na kuuza au kutumia dawa za kulevya.
Mpango huu wa Rais Trump umeelekezwa katika Idara ya Haki ya nchini humo kuwahukumu kifo madaktari, maduka ya dawa na watengeneza dawa ambao watakutwa wakijihusisha kwa namna yoyote ili na dawa za kulevya.
Inaelezwa kuwa Wamarekani zaidi ya Milioni 2.4 wamekuwa ‘mateja’ wa drugs, 42,000 waalikuwa kwa dawa hizo za kulevya mwaka 2016 na kujizidishia dawa imekuwa sababu iliyozoeleka ya vifo vingi nchini humo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK