Waziri Mwakyembe Ampa Onyo Kali Nay wa Mitego

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waziri Mwakyembe Ampa Onyo Kali Nay wa Mitego
Waziri wa Habari Dk Mwakyembe amefunguka na kumuonya msanii Nay wa Mitego kuhusu kuwadanganya wasanii wenzake na kusema ataendelea kufanya muziki ambao amekuwa akifanya miaka yote ili hali msanii huyo sasa amekuwa mstali wa mbele kufuata sheria.


Mwakyembe amesema hayo leo Machi 29, 2018 wakati waliokutana na msanii Roma Mkatoliki na waandishi wa habari na kutoa msamaha kwa msanii huyo kufuatia adhabu yake ya kufungiwa miezi sita kutojihusisha na sanaa.

"Nay wa Mitego alivyoongea na wenzake akawa anatamba kule mimi sibadilishi kitu akawa anawadanganya wenzake, Nay wa Mitego acha tabia ya kuwadanganya wenzako wakati wewe umebadilisha kila kitu na kupeleka BASATA halafu huku anatamba kwenye mitandao kwamba sibadilishi kitu, ujanja wa namna hiyo siyo mzuri anawadanganya wenzake wamuone ngangari kumbe hakuna lolote" alisema Mwakyembe

Msanii Nay wa Mitego kupitia mtandao wake wa Instgtram aliweka wazi kuwa katika wimbo wake mpya 'Mikono juu' hajabadilisha jambo lolote na kusema yeye ataendelea kufanya muziki wake kama ambavyo watu wamekuwa wakimjua kwa kuwa muziki huo wa kuchana watu ndiyo ulimtambulisha kwa jamii.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad