Wolper Achoshwa na Wanaoongeza Makalio Amkumbusha Waziri Kuwachukulia Hatua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wolper Achoshwa na Wanaoongeza Makalio Amkumbusha Waziri Kuwachukulia HatuaMsanii wa filamu na mjasiriamali Jackline Wolper amefunguka na kumkumbusha Naibu Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza kuchukua hatua kwa watu ambao wamekuwa wakionyesha makalio yao kwenye mitandao ya jamii.


Wolper amesema hayo leo Marchi 1, 2018 baada ya kuona watu bado wanaendelea kuweka video na picha zikionyesha makalio yao wakiwa nusu uchi na kusema kuwa hilo jambo linamshangaza mpaka jasho la damu linamtoka.

"Haki ya ukweli yule kiongozi wakukomesha vichupi yuko wapi, mbona bado tunaona makalio Insta au ndio sanaa kila sehemu mimi nashangaaa mpaka jasho la damu linanitoka chaaaaa" alisema Wolper

Januari 7, 2018 Naibu Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Juliana Shonza alimfungia msanii Suzan Michael maarufu kama Pretty Kind kujihusisha na shughuli za sanaa kwa muda wa miezi sita kwa madai ya kuwa msanii huyo alikuwa akiweka picha zisizo na maadili lakini Naibu Waziri huyo alisema na kuwataja watu wengine kuwa wanafuata akiwepo msanii msanii Gift Stanford maarufu kama Gigy Money pamoja na Jane Rimoy maarufu kama Sanchi ambaye bado anaendelea kujiachia kwa picha hizo kupitia mitandao yake ya kijamii. 
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad