AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wanajeshi wanne wa jeshi la Uganda katika kikosi cha kulinda amani nchini Somalia AMISOM wameauwa katika shambulizi lililotkelezwa na wanmagambo wa kundi la kigaidi la al shabaab. Shambulizi hilo limetekelezwa Jumapili.
Msemaji wa jeshi la Uganda Richard Karemire aliambia shirika la habari la Anadolu kuwa wanajeshi wanne wa Uganda katika kikosi hicho cha kulinda amani Somalia wameuawa na wengine 6 wamaejeruhiwa.
Shambulizi hilo limetekelezwa katika kambi inayopatikana Bula Marer.
Kwa mujibu wa msemaji huyo , wanagambo wa kundi la al shabaab wapatao 30 waliuawa katika operesheni walipokuwa wakijaribu kushambulia kambi tofauti za jeshi la ushirika la kulinda mani nchini Somalia AMISOM.
Kambi zilizokuwa zikilengwa na magaidi hao ni kambi ya Qoryoley, Buulo Marer na Golwen.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK