Hali Yangu si Nzuri Ila Sitaki Kwenda Kutibiwa Nje ya Nchi- Mzee Majuto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hali Yangu si Nzuri Ila Sitaki Kwenda Kutibiwa Nje ya Nchi
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam, Mussa Kilakala, amemtembelea muigizaji mkongwe nchini, King Majuto, aliyelazwa katika Hospitali ya Tumaini jijini Dar es Salaam, kwa siku mbili akisumbuliwa na tatizo la Nyonga.


King Majuto amemuleza ndugu Kilakala kuwa hali yake si nzuri sana lakini ameshapatiwa tiba ambayo inamhitaji mgonjwa kuwa na subra kwani inachukua miezi mitano na kuendelea kuweza kupona na pia amesema haitaji matibabu nje ya nchi kwani ana imani na tiba inaayotolewa na hospitali za nyumbani.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad