Mazoezi ya Polisi Yazua Taharuki Kilimanjaro

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mazoezi ya Polisi Yazua Taharuki Kilimanjaro
Leo April 24, 2018 majira ya asubuhi Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limefanya mazoezi kwa vitendo baadhi ya maeno katika mji wa Moshi kitu kilichozua taharuki kwa wakazi wa maeneo hayo.

Taarifa kutoka Moshi zinaeleza kuwa shughuli katika mji huo leo zimesimama kwa muda kufuatia zoezi hilo ambalo polisi walikuwa na silaha za moto.

Hata hivyo Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Hamis Issah amesema zoezi hilo ni la kawaida kwa askari Polisi na kwamba wamekuwa wakipata mafunzo ya nadharia kwa muda mrefu sasa wameamua kuyafanya kwa vitendo.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad