AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa kutoka Moshi zinaeleza kuwa shughuli katika mji huo leo zimesimama kwa muda kufuatia zoezi hilo ambalo polisi walikuwa na silaha za moto.
Hata hivyo Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Hamis Issah amesema zoezi hilo ni la kawaida kwa askari Polisi na kwamba wamekuwa wakipata mafunzo ya nadharia kwa muda mrefu sasa wameamua kuyafanya kwa vitendo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK