AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchezo
huo ambao uligubikwa na vurugu za hapa na pale ulishuhudia wageni
Yanga, wakifunga bao la kuongoza dakika ya 57 kupitia kwa kiungo Raphael
Daud ambaye amesajiliwa msimu huu kutoka Mbeya City.
Bao hilo lilisababisha vurugu za mashabiki lakini baadae walitulia na mchezo ukaendelea hadi dakika ya 67 ambapo mlinzi wa kati wa Mbeya City Ramadhan Malima kuoneshwa kadi nyekundu baada ya kumchezea rafu Juma Abdul.
Mashabiki walianza kurusha mawe uwanjani na kupelekea Jeshi la polisi kutumia mabomu ya machozi kuweza kutuliza vurugu hizo na mchezo kuendelea. Mbeya City waliendelea kucheza pungufu.
Tukio la mvuto zaidi katika mchezo wa leo ni bao la kusawazisha la Mbeya City ambalo limefungwa dakika ya 90 na mshambuliaji ambaye aliingia akitokea benchi na kufunga bao hilo ambalo limeamua mchezo umalizike kwa sare.
Bao hilo lilisababisha vurugu za mashabiki lakini baadae walitulia na mchezo ukaendelea hadi dakika ya 67 ambapo mlinzi wa kati wa Mbeya City Ramadhan Malima kuoneshwa kadi nyekundu baada ya kumchezea rafu Juma Abdul.
Mashabiki walianza kurusha mawe uwanjani na kupelekea Jeshi la polisi kutumia mabomu ya machozi kuweza kutuliza vurugu hizo na mchezo kuendelea. Mbeya City waliendelea kucheza pungufu.
Tukio la mvuto zaidi katika mchezo wa leo ni bao la kusawazisha la Mbeya City ambalo limefungwa dakika ya 90 na mshambuliaji ambaye aliingia akitokea benchi na kufunga bao hilo ambalo limeamua mchezo umalizike kwa sare.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK