Wabunge Watakiwa Kudhibiti Unyanyasaji wa Jinsia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wabunge Watakiwa Kudhibiti Unyanyasaji wa Jinsia
Wabunge wa wametakiwa kuchukua hatua stahiki kudhibiti vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia vinavyofanywa dhidi ya wanawake na watoto wenye ulemavu katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania.
Ushauri huo umetolewa mara baada ya kufanyika utafiti uliofanywa na shirika la 'Action On Disability and Development' kwa kushirikiana na shirikisho la watu wenye ulemavu Tanzania kubaini kuwepo kwa vitendo vya udhalilishaji wanawake na watoto wenye ulemavu.
Akiongea na Wabunge katika semina iliyoandaliwa na Shirika la ADD, Mjini Dodoma, Mkurugenzi wa Shirika hilo Bi. Rose Tesha amesema kuwa baadhi ya ndugu na jamaa wamekuwa wakishiriki vitendo hivyo hususani kwa watoto wenye ulemavu wa kusikia na akili.
Wakitoa maoni yao katika Semina hiyo baadhi ya wabunge wametaka sheria iweze kurekebishwa ili mfuko wa jimbo pia uweze kuwahudumia watu wenye ulemavu huku wengine wakitaka uboreshaji wa miundombinu kwa watu wenye ulemavu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad