AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inaelezwa kuwa Mkuu huyo wa Jeshi kifo Ajongo kilikuwa cha ghafla. Inaelezwa kuwa alijiunga na Jeshi la Uhuru wa Watu wa Sudan (SPLA) mnamo mwaka wa 1983, wakati bado ilikuwa kikundi cha waasi kilichopigania uhuru.
Ajongo aliteuliwa kuchukua nafasi ya Paul Malong mwanzoni mwa mwaka jana baada ya kufukuzwa kazi.
Malong alikuwa akimkosoa Rais wa nchi hiyo Salva Kiir na kumtuhumu kwa uharibifu wa rasilimali za nchi na kuifanya kuwa hali ya kushindwa kuwa na maendeleo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK