Mkuu wa Jeshi Sudan Kusini Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mkuu wa Jeshi Sudan Kusini afariki dunia
Kutoka Sudan Kusini, Mkuu wa Jeshi la nchi hiyo General James Ajongo amefariki jana April 20, 2018 jijini Cairo nchini Misri akiwa na umri wa miaka 64.

Inaelezwa kuwa Mkuu huyo wa Jeshi  kifo  Ajongo kilikuwa cha ghafla. Inaelezwa kuwa alijiunga na Jeshi la Uhuru wa Watu wa Sudan (SPLA) mnamo mwaka wa 1983, wakati bado ilikuwa kikundi cha waasi kilichopigania uhuru.

Ajongo aliteuliwa kuchukua nafasi ya Paul Malong mwanzoni mwa mwaka jana baada ya kufukuzwa kazi.

Malong alikuwa akimkosoa Rais wa nchi hiyo Salva Kiir na kumtuhumu kwa uharibifu wa rasilimali za nchi na kuifanya kuwa hali ya kushindwa kuwa na maendeleo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad