AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
RC Gambo amewashauri wanaume wote wenye tabia hizo kuacha mara moja na kama watashindwa basi ni bora wakafanya mambo yao kimya kimya na kuheshimu familia zao kwani vitendo hivyo husababisha magonjwa kwenye familia.
“Familia nyingi zipo kwenye mateso kutokana na matendo ya wanaume. Nadhani haya mambo ni sababu kubwa za Presha na sukari kwa familia nyingi. Wanaume ni busara kuheshimu nyumba yako hata kama una vituko vyako.“ameeleza RC Gambo kwenye ukurasa wake wa Instagram na kusisitiza.
“Mwanamke mnaanza nae maisha, mnateseka nae mkiwa hamna chochote halafu Mungu anakupa riziki unaamua kumtesa mkeo. Wakati mwingine mwanaume unachukua hata chakula Cha ndani (unga , mchele, sukari na nk) alichokihangaikia mkeo kwa ajili ya watoto wake na kupeleka nyumba NDOGO.“ameandika Gambo.
Kwa upande mwingine Gambo amesema huu ni muda muafaka kuliangalia tatizo hilo kitaifa kwani familia nyingi zimekumbwa na janga hilo, “Kama Taifa tunahitaji tiba mbadala ya kuzisaidia familia zetu!“.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK