Mwakyembe Apokea kwa Mshituko Mkubwa Kifo cha Msanii wa bendi ya Mzee King Kiki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwakyembe Apokea kwa Mshituko Mkubwa Kifo cha Msanii wa bendi ya Mzee King Kiki
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe amepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha aliyekuwa mwanamuziki wa dansi, Kalambay Bisongo aliyekua akifanya kazi kwenye bendi ya Wazeee Sugu ya Mzee King Kiki.



Bisongo alifariki April 18 ya mwaka huukatika Hospitali ya Mloganzila iliyopo maeneo ya Kibamba jijini Dra es Salaam. Msanii huyo amewahi kufanya kazi kwenye bendi tofauti tofauti ikiwemo Tanzania One, Achingo na baadae bendi ya King Kiki.

Soma taarifa hiyo ya Mhe. Mwakyembe hapa chini:
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad