Waombolezaju Tumieni Picha za Masogange Zenye Staha Ili Tumpunguzie Adhabu ya Kabri- Roma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waombolezaju Tumieni Picha za Masogange Zenye Staha Ili Tumpunguzie Adhabu ya Kabri- Roma
Wakati tasnia ya burudani Bongo ikiendelea kuomboleza kifo cha aliyekuwa video vixen, Agness Gerald ‘Masogange’, msanii wa muziki wa hip hop, Roma ametoa ushauri kwa waombolezaji kuhusu picha zinazosambaa kwa kasi mtandaoni za mrembo huyo.

Roma ameeleza wakati watu wakiendelea kuomboleza kifo cha mrembo huyo ni vema wakatumia picha zake zenye staha tofauti na ambazo zimekuwa zikitumika na baadhi ya watu. Kupitia ukurasa wake wa Twitter Roma ameandika;

“Wazo langu, ni vema tuonyeshe hisia zetu kwa kupost picha zake zenye staha, ili tumpunguzie adhabu ya kaburi,” amesema Roma.

Roma ameendelea na kuongeza kuwa, “A soldier Die, A soldier Born, Chill Easy Baby, Aggy Gerry,”.

Agness alipata umaarufu mkubwa pindi alipotokea katika video ya msanii Belle 9 ambayo ilikwenda kwa jina la Masongange ndipo na yeye kuanza kutumia jina hilo. Masogange amefariki jana April 20, 2018 katika hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge, Dar es Salaam.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad