Raiola Asema Guardiola ni Muongo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Raiola asema Guardiola ni muongo
Wakala wa kiungo wa Manchester United Paul Pogba Mino Raiola amesema alichosema kocha wa Manchester City Pep Guardiola kuwa Pogba alitaka kuuzwa kwenye usajili wa Januari si kweli.


''Sijawahi kuzungumza na Guardiola kuhusu mchezaji yeyote aliyechini yangu, si Pogba wala Mkhitaryan, hata Man City kama klabu sijawahi kuongea nayo lakini naiheshimu ni timu bora na ina kocha bora'', amesema.

Jana kwenye mkutano na wanahabari kuelekea mchezo wa 'Derby' ya jiji la Manchester, Guardiola alisema kuwa Pogba alitaka kuuzwa Manchester City kwenye dirisha dogo la janauri kitu ambacho kimepingwa vikali na nyota huyo wa Ufaransa.



Kwa upande wake Pogba kupitia ukurasa wake wa mtandao wa 'Twitter' ameeleza kushangazwa na alichosema Guardiola kwani hajawahi kuongelea suala hilo hata siku moja.

Mchezo wa leo ambao utapigwa kwenye uwanja wa Etihad nyumbani kwa Man City, unaweza kuamua bingwa endapo wenyeji watashinda basi wataibuka mabingwa wapya wa EPL msimu wa 2018/1
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad