AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Raia wa Afrika Kusini na mdau mkubwa wa burudani barani Afrika, Tim Horwood alipewa kazi ya kutafuta wanamuziki watano kuifanya kazi hiyo.
Alipofika ukanda wa Afrika Mashariki anasema hakuna jina jingine lililomjia katika orodha yake fupi zaidi ya Diamond.
Horwood anasema ni msanii aliyeimarisha himaya yake ukanda wa Afrika Mashariki hivyo haikuwa rahisi kumchagua mwingine.
Wasanii wengine waliopata shavu hilo ni Sami Dan wa Ethiopia; Lizha James wa Mozambique; Ykee Benda wa Uganda; na Casper Nyovest wa Afrika Kusini.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK