Taarifa ya Meya wa Ubungo kuvamiwa nyumbani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kutoka kwenye ukurasa wa Twitter wa Meya wa Ubungo Boniface Jacob kumeandikwa yafuatayo

“Askari wenye uniform za JWTZ watatu na mmoja wao amevalia kiraia na ana video camera,”
“Wameiweka familia chini ya ulinzi, wanapekua kila mahali vyumbani bila mimi mwenye nyumba,polisi, Mjumbe kuwepo…naelekea huko muda huu” hayo ndio yaliyoandikwa kwenye ukurasa wa Twitter wa Meya Boniface Jacob.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad