TMA Yatoa Tahadhari kwa Wananchi Kuhusu Mvua Zinazoendelea Kunyesha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

TMA Yatoa Tahadhari kwa Wananchi Kuhusu Mvua Zinazoendelea KunyeshaMamlaka ya hali ya hewa iliyopo chini ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano nchini Tanzania imewatahadharisha wananchi kuwepo kwa vipindi vifupi vya mvua kubwa katika baadhi ya mikoa ya Tanzania kuanzia leo usiku Aprili 09, 2018.


Hayo yamebainishwa na taarifa zilizotolewa na mamlaka hiyo jioni ya leo (Jumatatu) na kudai kutakuwepo na upepo unaotarajiwa kuvuma kutoka Kusini- Mashariki kwa kasi ya Km 20 kwa saa kwa Pwani yote huku hali ya bahari inatarajiwa kuwa na mawimbi madogo

Kwa taarifa kamili angalia hapa chini.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad