Utani wa RC Makonda: Nasikia Wana Yanga Wanauliza Lini Tunaanza Kuwapima Tezi Dume!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Utani wa RC Makonda: Nasikia Wana Yanga Wanauliza Lini Tunaanza Kuwapima Tezi Dume!
Baada ya klabu ya Simba SC Jumapili na jana kuibuka na ushindi wa goli moja bila dhidi ya watani wao wa jadi, Yanga SC, mashabiki wa timu ya Simba ambayo ipo katika mbio za ubingwa, wamekuwa wakituma mtandaoni vitu vya utani kwa mashabiki wa Simba.


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam,Paul Makonda ambaye ni shabiki wa Simba, ametupia mtandaoni video inayomuonyesha msemaji wa Simba, Haji Manara akishangilia ushindi wa jana na kuandika ujumbe ambao umeonekana kuwaumiza mashabiki wa Yanga.

“Nasikia wana Yanga wanauliza lini tunaanza kuwapima tezi dume!,” aliandika RC Makonda kama kuwadhihaki mashabiki wa Yanga.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad