AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam,Paul Makonda ambaye ni shabiki wa Simba, ametupia mtandaoni video inayomuonyesha msemaji wa Simba, Haji Manara akishangilia ushindi wa jana na kuandika ujumbe ambao umeonekana kuwaumiza mashabiki wa Yanga.
“Nasikia wana Yanga wanauliza lini tunaanza kuwapima tezi dume!,” aliandika RC Makonda kama kuwadhihaki mashabiki wa Yanga.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK