AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nape amesema…>>>“Ukiacha gesi na mafuta, Lindi na mtwara ni korosho lakini Serikali ilichukua mfuko wa pembejeo. Kulikuw ana mapungufu yalitokea tukaacha kwakuwa ilikuwa ni mara ya kwanza lakini hali ilivyo sasa ni mbaya sana sana ”
“Tumaini pekee lililokuwa limebaki kusini ni korosho, mnajua mbaazi imekwenda kutoka Shilingi 2000 hadi 100 jamani sio sawa kabisa. Mnataka tuende wapi? Tulipotoa kura tuliamini mtatusaidia lakini imekuwa tofauti” –Nape Nnauye
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK