Video: Nape Nnauye Aitolea Povu Serikali “Hii Sio Sawa Serikali Mmetusaliti”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

“Hii Sio Sawa Serikali Mmetusaliti” –Nape Nnauye
Mbunge wa Mtama Nape Nnauye ameilalamikia Serikali Bungeni kwamba imekuwa ikiwasaliti wananchi wa mikoa ya kusini ikiwemo Lindi na Mtwara kwa kushindwa kuwasaidia katika kuboresha kilimo cha korosho na mbaazi na kusababisha hali mbaya ya kiuchumi kwa wakulima wa mazao hayo ikiwa wakati wa kampeni moja ya ushawishi wao ilikuwa ni kuwasaidia wakulima hao.

Nape amesema…>>>“Ukiacha gesi na mafuta, Lindi na mtwara ni korosho lakini Serikali ilichukua mfuko wa pembejeo. Kulikuw ana mapungufu yalitokea tukaacha kwakuwa ilikuwa ni mara ya kwanza lakini hali ilivyo sasa ni mbaya sana sana ”

“Tumaini pekee lililokuwa limebaki kusini ni korosho, mnajua mbaazi imekwenda kutoka Shilingi 2000 hadi 100 jamani sio sawa kabisa. Mnataka tuende wapi? Tulipotoa kura tuliamini mtatusaidia lakini imekuwa tofauti” –Nape Nnauye


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad