Vilio Vyatanda Baada ya Kumpata Mtoto Wao Aliyepotea kwa Miaka 24

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Vilio Vyatanda Baada ya Kumpata Mtoto Wao Aliyepotea kwa Miaka 24
Familia moja nchini China imeibua hisia nyingi za watu baada ya kumpata mtoto wao wa kike ambaye alikuwa amepotea kwa miaka 24.

Inaelezwa kuwa binti huyo  Qifeng alipotea akiwa na umri mdogo, ambapo siku moja akiwa na wazazi wake Wang Mingqing na Liu Dengying ambao walikuwa wauzaji wa matunda, alipotea na wazazi hao waligundua mtoto wao hayupo pembeni yao.

Walianza kumtafuta, zoezi ambalo lilichukua miaka hiyo yote huku wakitangaza kumtafuta binti yao huyo kwenye vyombo mbalimbali za habari nchini humo huku baadhi ya mabinti wakijitokeza kupiga DNA lakini hawakuwa mtoto wao.

Hatimaye Polisi mchoraji alichukua picha ya utotoni ya binti huyo na kumchora jinsi ambavyo yawezekana ndivyo alivyo baada ya kuwa mtu mzima. Qifeng alipoona picha hiyo alipiga simu kwa namba ambazo ziliwekwa kwenye picha hizo na ndipo wanafamilia hao walipopatana.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad