Tamasha la Mtanzania Lafunika Uingereza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tamasha la Mtanzania Lafunika Uingereza
Baada ya kufikia malengo yake ya mwaka 2017 kwa kufanya matamasha matatu makubwa nchini Ujerumani yaliyofana, Emanuel Austin ambaye ni mwalimu wa dansi (Choreographer) nchini humo ameanza mwaka 2018 kwa kitu kikubwa zaidi.

Austin ambaye ni mmiliki wa chuo cha dansi cha Tanzschule Weiss akishirikiana na mkewe Larissa Bertsch kilichopo katika mji wa Frankfurt, Jumapili ya April 22 wameandaa tamasha kubwa ambalo lilijaza nyomi ya watu takribani 12,000.
Tamasha hilo limefanyika kwenye ukumbi wa Abschlussball. Akiongea na Bongo5, mwalimu huyo amesema tamasha hilo lilikuwa kali na lilifaana zaidi kitu ambacho kimeonyesha ni mwanzo mzuri kwao katika mwaka huu.











----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad