AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Austin ambaye ni mmiliki wa chuo cha dansi cha Tanzschule Weiss akishirikiana na mkewe Larissa Bertsch kilichopo katika mji wa Frankfurt, Jumapili ya April 22 wameandaa tamasha kubwa ambalo lilijaza nyomi ya watu takribani 12,000.
Tamasha hilo limefanyika kwenye ukumbi wa Abschlussball. Akiongea na Bongo5, mwalimu huyo amesema tamasha hilo lilikuwa kali na lilifaana zaidi kitu ambacho kimeonyesha ni mwanzo mzuri kwao katika mwaka huu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK