Walichokiamua wasanii Bongo Movie Usiku Huu Kuhusu Mazishi ya Agness Masogange

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wasanii mbalimbali wa filamu na wa bongo fleva, wamekutana katika viwanja vya Leaders Club usiku huu  ili kujadiliana kuhusu utaratibu wa mazishi ya msanii anayepamba video za muziki (video queen), Agness Gerald maarufu Masogange.

Steve Nyerere amesema kuwa, Masogange anatarajiwa kuzikwa Mbeya na kuwa mwili utasafirishwa Jumapili wiki hii na kuzikwa Jumatatu.

Miongoni mwa wasanii waliofika Leaders leo ni pamoja na Chopa wa Mchopanga, Irene Uwoya aliyeambatana na mume wake, Dogo Janja na aliyekuwa mtangazaji wa Clouds Media Group, Zamaradi Mketema.

Kamati ya awali iliyoundwa, imemchangua Mchopanga kuwa katibu na Zamaradi kukusanya michango.

“Lakini tukipata taarifa kutoka kwa ndugu tutajua msiba utagharimu shilingi ngapi kwa sasa mahitaji makubwa ni mabasi mawili kwa ajili ya kusafirisha mwili, maturubai, vyakula na maji,” amesema Nyerere.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad