AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jana April 6, 2018 watekeaji hao walimwachia huru Pardi huyo Celestin Ngango baada ya kupewa pesa hizo, lakini inaripotiwa kuwa watu wengine watatu waliokuwa pia wametekwa kuwa wameuawa.
Kwa mujibu wa Kituo cha Utafiti cha Kukuza Amani, Demokrasia na Haki za Binadamu CEPADHO Padri Ngango ni mmoja kati ya watu 10 ambao waliotekwa nyara katika wilaya ya Rutshuru.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK