Watekaji Wamwachia Huru Padri Baada ya Kulipwa Bilioni Moja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watekaji wamwachia huru Padri baada ya kulipwa Bilioni Moja
Jumapili ya Pasaka April 1, 2018 Padri wa kanisa moja la Katoliki nchini Congo alitekwa na wanaume ambao walikuwa na silaha ambao waliomba kupewa Dola za Marekani 500,000 sawa na Shilingi bilioni 1.2 ili wamwachie huru.

Jana April 6, 2018 watekeaji hao walimwachia huru Pardi huyo Celestin Ngango baada ya kupewa pesa hizo, lakini inaripotiwa kuwa watu wengine watatu waliokuwa pia wametekwa kuwa wameuawa.

Kwa mujibu wa Kituo cha Utafiti cha Kukuza Amani, Demokrasia na Haki za Binadamu CEPADHO Padri Ngango ni mmoja kati ya watu 10 ambao waliotekwa nyara katika wilaya ya Rutshuru.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad