Waziri Majaliwa Kuwasha Mwenge wa Uhuru Leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wazili Majaliwa Kuwasha Mwenge wa Uhuru Leo
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Aprili 2,2018 atawasha Mwenge wa Uhuru mkoani Geita.

Sherehe za kuwashwa Mwenge zinatarajiwa kuanza saa moja asubuhi hadi saa tano asubuhi katika kiwanja cha Magogo mjini Geita.

Mwenge wa Uhuru ambao utakimbizwa mkoani Geita kwa siku sita  utakabidhiwa mkoani Kagera Aprili 7,2018.

Mbio za Mwenge ambazo kauli mbiu kwa mwaka huu ni ‘Elimu ni ufunguo wa maisha, wekeza sasa kwa maendeleo ya Taifa zitahitimishwa Oktoba 14,2018 mkoani Tanga.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad