Zitto Kabwe Amlilia Mama Mzazi wa Mrisho Gambo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Zitto Kabwe Amlilia Mama Mzazi wa Mrisho Gambo
Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe ametoa salamu za pole kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo baada ya kufiwa ya mama yake mzazi usiku wa kuamkia jana.



Zitto amesema kuwa anajua uchungu wa kupotelewa na mama huku akieleza kuwa hakuna faraja kama kumuuguza na kumsitiri mzazi.

Pole sana kwa Msiba huu mkubwa ndugu Mrisho Gambo. Najua uchungu wa kupotelewa na mama. Hakuna faraja kama kumuuguza na kumsitiri mzazi. Mola akupe subira wewe na ndugu zako. Inna lilah waina ilaih raajiun ameandika Zitto kwenye mitandao yake ya kijamii.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad