Alikiba Afunguka Kuhusu ujio wa Albamu yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na ngoma ‘Mvumo wa Radi’ ameiambia ITV kuwa kuna uwekano wa albamu kutoka mwaka huu na tayari maandalizi yameshafanyika.

“Albamu naweza nikaachia mwaka huu nipo katika kumalizia japokuwa tayari nipo na nyimbo ila nataka kila kitu kitoke kikiwa perfect,” amesema Alikiba.

Ameongeza kuwa albamu hiyo itauzwa kwa njia ya online na kawaida, yaani hard copy.

Utakumbuka kuwa wasanii wa Bongo Flava waliotoa albamu hivi karibuni ni pamoja na Vanessa Mdee, Diamond, Wakazi na Chin Bees.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad