AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Albamu naweza nikaachia mwaka huu nipo katika kumalizia japokuwa tayari nipo na nyimbo ila nataka kila kitu kitoke kikiwa perfect,” amesema Alikiba.
Ameongeza kuwa albamu hiyo itauzwa kwa njia ya online na kawaida, yaani hard copy.
Utakumbuka kuwa wasanii wa Bongo Flava waliotoa albamu hivi karibuni ni pamoja na Vanessa Mdee, Diamond, Wakazi na Chin Bees.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK