AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakili wa Serikali, Antia Julius amesema mshtakiwa huyo alitenda makosa hayo April 12, 2018 katika Zahanati ya Msufini iliyopo Kata ya Mwanga Kaskazini.
Amesema mshtakiwa huyo ambaye pia ni msanii wa muziki wa kizazi kipya anakabiliwa na mashtaka ya kutoa lugha ya matusi, shambulio la kudhuru mwili na kufanya fujo katika zahanati hiyo, akidaiwa kumpiga muuguzi, Christina Gervas.
Antia amesema Clayton amefunguliwa kesi namba 62/ 2018 na anashitakiwa kwa mujibu wa kifungu cha 89 (1) (a) ya kanuni ya adhabu.
Hakimu mkazi mfawidhi wa Mahakama hiyo, Frola Mtarania alimueleza Baba Levo kuwa dhamana yake ipo wazi kutokana na shitaka linaomkabili, ambao mshtakiwa huyo alifanikiwa kupata wadhamini wawili na yupo nje kwa dhamana.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK