AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Leo May 10 2018 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza kuanza kupokea maombi ya mikopo ya elimu ya juu kwa muda wa miezi miwili na kusisitiza kuwa maombi yote yatapokelewa kwa njia ya mtandao.
Akizungumza na waandishi wa habari Mkururugenzi Mtendaji wa Bodi hiyo, Abdul-Razaq Badru amesema BILIONI 427 zimetengwa kwa mwaka huu na wanafunzi wapya zaidi ya 40,000 watanufaika.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK