Emmanuel Mbasha Apangua Tuhuma za Kuazima Magari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa muziki wa Injili Bongo, Emmanuel Mbasha amejibu kuhusu tuhuma za kuazima magari ya watu kwa ajili kupiga picha ili kujionyesha katika mitandao.

Muimbaji huyo amesema tuhuma hizo hazina ukweli wowote kwani kazi zake anazozifanya zinatosha kumuingiza kipato cha kuweza kumiliki magari kadhaa.

“Hamna, mimi huwa siazimi magari, yote niliyona ni ya kwangu, ninatumia gari zangu na watu wa karibu yangu wanafahamu mimi ni mfanyabiashara, ninaimba Gospel na nina kipato cha kufanya mambo yangu yote ya unayoyaona,” Mbasha ameiambia Bongo5.

Ameongeza kuwa kwa sasa anamiliki magari mawili. Wimbo wa mwisho Mbasha kutoa ni Hallelujah ambao amemshirikisha Hondwa, wimbo huo ulitoka October 2017.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad