Faiza afunguka tuhuma za kukwapua mume wa mtu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa Filamu Bongo, Faiza Ally amefunguka sababu ya kutomuweka hadharani mzazi mwenzie wa sasa.

Muigizaji huyo amesema analazimika kutomuonyesha kwa sababu hawana malengo yoyote ila si kwamba ni mume wa mtu.

“Sipendi kumuonyesha sio sababu ni mume wa mtu, ni sababu hatuna malengo, hatutegemei kuoana wala kuishi pamoja kwa hiyo i take my time, when time come kuonyesha kwenye media nitafanya hivyo,” Faiza ameiambia Bongo5.

Ameongeza kuwa aliamua kuzaa mtoto wa pili kwa sababu umri unaenda na malengo yake yalikuwa akifikisha miaka 35 tayari awe na watoto na hao alionao wanamtosha.

Faiza ni mama wa watoto wawili, Sasha na Li Junior.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad