Familia ya John Heche Yakataa Fidia ya Serikali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Familia ya John Heche Yakataa Fidia
Chacha Suguta (27), ndugu wa Mbunge wa Tarime Vijijini (Chadema), John Heche aliyefariki dunia akidaiwa kuchomwa kisu akiwa mikononi mwa polisi, alizikwa jana nyumbani kwao katika Kijiji cha Nyabitocho wilayani humo.

Ingawa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima aliyefika nyumbani kwa marehemu kuhani msiba aliahidi kuwa Serikali itashirikiana na familia katika msiba huo, hakuna kiongozi yeyote wa Serikali wala Jeshi la Polisi ngazi ya mkoa na wilaya aliyehudhuria mazishi.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Mara, Samuel Kiboye ndiye pekee aliyekuwa kiongozi wa chama tawala wa ngazi ya juu aliyehudhuria mazishi hayo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad