AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukurasa wake wa instagram Gigy Money ameomba msamaha kwa mashabiki zake na watu wake wa karibu kutokana na kile alichokiongea kwenye mahujiano hayo .
”Sometimes mnajua hasira inaharibu vitu vingi. My last interview I was so angry, nimeongea mpaka kuptiliza so kwa wale nnaofanya nao kazi, nawaomba radhi. Kwa wale wanaonichukulia kama kioo cha jamii, wajue kwamba life is a journey and I’m learning with every step and to my fannnns, yani wapenzi wa dhati, asanteni for your love and support. Watch this space so mnajua Mama Myra sio wa mchezo mchezo. It will only get better.”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK