AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jana May 6 ilikuwa ni kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kutokea kwa ajali hiyo iliyobakiza wanafunzi watatu tu waliokuwa kwenye basi hilo.
Katika kumbukumbu hiyo shule ya Lucky Vincent imefanya ibada maalumu ya kuwakumbuka wanafunzi pamoja na waalimu waliofariki kwenye ajali hiyo.
Umejengwa mnara katika eneo la mlima huo wa Rhotia ambapo ndipo gari hilo lilipopata ajali. Mnara huo una majina ya watoto wote waliofariki kwenye ajali hiyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK