AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Penny aliiambia Over Ze Weekend kuwa, kwa hivi sasa kila mmoja anatakiwa ajishushe kwa ajili ya kuuheshimu Mwezi wa Ramadhan kwani ndiyo wenye baraka tele.
Penny alisema mwezi huu yuko kwenye maombi mazito na kubwa zaidi analoliomba ni Mwenyezi Mungu amletee mume bora.
“Siko tayari hata kama mtu amenikwaza nigombane naye hata kidogo kwa sababu pia kwenye mwezi huu niko katika maombi mazito ya vitu vingi na kimojawapo ni kumuomba Mungu anipatie mume bora,” alisema Penny.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
PENNY NI MNAFIK KAMA ZARI. KWENYE UKRISTO YUMO. KWENYE UISLAM HALI KADHALIKA..TABU TUPU
ReplyDelete