Katika Mwezi Huu Hata Mta Mtu Anichokoze Hadi Kunitoboa Jicho Siwezi Kumfanya Lolote- Penny

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Katika Mwezi Huu Hata Mta Mtu Anichokoze Hadi Kunitoboa Jicho Siwezi Kumfanya Lolote- Penny
MTANGAZAJI wa Kipindi cha Harusi Yetu kinachorushwa na Runinga ya Magic Swahili, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amesema kuwa, kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, hata mtu amchokoze mpaka kutaka kumtoboa jicho lake hatamfanya lolote.


Penny aliiambia Over Ze Weekend kuwa, kwa hivi sasa kila mmoja anatakiwa ajishushe kwa ajili ya kuuheshimu Mwezi wa Ramadhan kwani ndiyo wenye baraka tele.

Penny alisema mwezi huu yuko kwenye maombi mazito na kubwa zaidi analoliomba ni Mwenyezi Mungu amletee mume bora.



“Siko tayari hata kama mtu amenikwaza nigombane naye hata kidogo kwa sababu pia kwenye mwezi huu niko katika maombi mazito ya vitu vingi na kimojawapo ni kumuomba Mungu anipatie mume bora,” alisema Penny.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. PENNY NI MNAFIK KAMA ZARI. KWENYE UKRISTO YUMO. KWENYE UISLAM HALI KADHALIKA..TABU TUPU

    ReplyDelete

Top Post Ad