AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rouhani amesema Pompeo, alipokuwa mkuu wa shirika la upelelezi la CIA, alishawahi shinikiza kuwekwa vikwazo dhidi ya taifa hilo ili kuachana na silaha za nyuklia na makombora ya masafa marefu.
Wewe ni nani? uweze kuwa na maamuzi dhidi ya Iran na dunia? amefoka Rais Rouhan, akiongeza kuwa Pompeo kwa mara nyingine shinikizo alilowahi lisimamia dhidi ya taifa hilo akiwa mkuu wa shirika la upepelezi la CIA wakati huo.
Amesema kuwa Iran kamwe tena namna yoyote mkono wa mtu kuishikilia mashariki ya kati.Kwa upande wake waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu,amepongeza kauli ya bwana Pompeo na uungwaji mkono wa Marekani kimataifa.
"Tunaamini hii ndiyo sera nzuri.Ni sera pekee inayoweza kutuhakikishia usalama wa mashariki ya kati katika ukanda wetu.Na tunatoa wito kwa mataifa yote kufuata msimamo wa Marekani kwa sababu Irani ina nguvu za uchokozi."Netanyahu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK