AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rwasa ameitaka tume ya uchaguzi kufutilia mbali matokeo na kuitisha kura upya kwa madai kuwa kura hiyo iligubikwa na udanganyifu na vitisho kwa wafuasi wake.
Matokeo ya awali yalionyesha kuwa kura ya ‘ Ndiyo ‘ ya kuidhinisha marekebisho ya katiba imeshinda kwa kishindo.
Iwapo katiba hiyo itaidhinishwa, itamruhusu Rais Pierre Nkurunziza kuwania tena uongozi na kusalia madarakani hadi mwaka wa 2034.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK