AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
TABORA: Jeshi la Polisi linamtafuta Mwanaume mmoja anayefahamikwa kwa majina ya Omara Matonya kwa tuhuma za kuwauwa kwa kuwachinja Mama na Mtoto wake
Mwanaume atorokea kusiko julikana mara baada ya kufanya mauaji hayo ya kinyama
Katika tukio jingine Jeshi la Polisi Mkoani humo lunamshikilia Mwanaume anayeitwa Ibrahimu Yohana mwenye umri wa miaka 40 baada ya kumkamata na silaha nne za moto aina ya Gobore
Mwanaume huyo anatuhumiwa kuzitumia silaha hizo kwa kufanyia ujangili katika Hifadhi ya Wanayamapori iliyopo katika wilaya ya Sikonge - #regrann
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK