Nape Nnauye Bado Amlilia Marehemu Bilago Atoa Ujumbe Mzito

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nape Nnauye Bado Amlilia Marehemu Bilago Atoa Ujumbe Mzito
Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye anamkuru Mungu kwaajili ya Mbunge wa Jimbo la Buyungu, Mh. Kasuku Bilago aliyefariki Mei 26, 2018 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu.

Nape amesema tangu wakutane naye kwa mara ya kwanza Bungeni amejifunza mengi kutoka kwa mbunge huyo na pengo lake ni kubwa halielezeki.

“Kaka na rafikiangu Mwl. Bilago umetangulia mbele ya haki. Ninamshukuru Mungu kwa maisha yako, toka tulipokutana Kwa Mara ya kwanza Bungeni nimejifunza mengi toka kwako, hakika pengo lako ni kubwa sana halielezeki. Umeacha alama katika siasa za nchi yetu!,” ameandika Nape katika mtandao wake Twitter.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad