AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nape amesema tangu wakutane naye kwa mara ya kwanza Bungeni amejifunza mengi kutoka kwa mbunge huyo na pengo lake ni kubwa halielezeki.
“Kaka na rafikiangu Mwl. Bilago umetangulia mbele ya haki. Ninamshukuru Mungu kwa maisha yako, toka tulipokutana Kwa Mara ya kwanza Bungeni nimejifunza mengi toka kwako, hakika pengo lako ni kubwa sana halielezeki. Umeacha alama katika siasa za nchi yetu!,” ameandika Nape katika mtandao wake Twitter.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK