AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dillish na Adebayor waliingia kwenye vichwa vya habari vya kuwa wapenzi tangu mwishoni mwa mwaka jana.
Habari za mahusiano ya wawili hao kuvunjia zilianzia kwenye ujumbe ambao Dillish aliuweka kwenye mtandao wake a Instagram ambao unasomeka, “Wha’s the one thing you would love to teach the world.”
Hata hivyo Adebayor alishindwa kuvumilia na kuamua kucomment kwenye ujumbe huo kwa kuandika, “Make all those things start from you” na pia aliweka comment nyingine inayosema, “How to respect people opinion.”
Lakini baya zaidi lililoonyesha penzi la wawili hao kutawaliwa na ua jeusi baada ya kila mmoja kum-unfollow mwenzake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK