AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Henga ameyasema hayo kwenye mkutano wa wadau wa habari, vijana, na asasi za kiraia waliokutana kujadili kanuni mpya za mitandaoni.
Amesema kuwa muda uliotolewa na mamlaka husika kutoa maoni yao kuhusu kanuni hizo ulikuwa ni mdogo, hivyo kusababisha watumiaji wengi kutokuwa na uelewa juu ya suala hilo.
“Sheria ili iwe nzuri lazima watumiaji waielewe, ndio maana tumekutana hapa kujadili kanuni hizo ambazo zimepitishwa bila kusikilizwa kwa maoni ya watumiaji,”.
Pia Henga amesema kuna baadhi ya vipengele vya kanuni hizo ni vizuri lakini vingine ni vibaya kwa kuwa vinaminya Uhuru wa habari na kujieleza.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK