AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Remix hiyo ambayo inasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki kutokana na kusikia vionjo kutoka kwenye ngoma hiyo kwa asilimia kubwa imeshakamilika.
Kupitia mtandao wa Instagram Rayvanny amewataja asanii wote ambao watasikika kwenye Pochi Nen Remix ambao ni Khaligraph Jones, Godzilla, Rosa Ree, Izzo BiznesS, Country Boy, Young Dee na Wakorinto.
Hata hivyo mashabiki wamekuwa wakijiuliza maswali mengi kukosekana kwa Bill Nass kwenye orodha hiyo wakati alionekana kwenye kipande cha video sauti yake ikisikika katika ngoma hiyo.
Remix hiyo imetayarishwa na maproducer wawil akiwemo S2kizzy na Rash Don.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK