AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ruby ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza mbele ya kamera za eNewz kutoka EATV baada ya mtangazaji wa kipindi hicho kutaka kufahamu ukweli wa mambo yaliyomsibu kama ni kweli au laa lakini cha kushangaza mwanadada huyo alihamaki na kukimbia 'interview'.
"Kuna sababu nyingi sana za mtu kusafiri na mimi ukiniona nimesafiri basi ujue nimeenda kupiga kazi. Kiufupi watu wa South Africa naweza sema ni 'very peacefully', waelewa wakisema wanapenda kitu basi ujue ni kweli, siwezi kusema ni 'show' ngapi nimefanya nikiwa huko ila huwa naziweka kwenye ukurasa wangu wa instagram", amesema Ruby.
Mtazame hapa chini Ruby akifunguka zaidi...
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK