Serikali Yasema Gharama ya Kuunganisha Umeme ni 27000 Pekee

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

SERIKALI  Kupitria kwa Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu imesema gharama ya kuunganishia umeme ni Sh27, 000  tu.

Mgalu  amesema hayo jana bungeni Mei 25, 2018 wakati akijibu hoja mbalimbali za wabunge walizozitoa wakati wa mjadala wa bajeti ya Wizara ya Nishati ya mwaka 2018/19 .

Mgalu ameagiza makandarasi na wasimamizi wa miradi ya umeme vijijini (Rea) kuwashirikisha viongozi wa maeneo wanaposambaza umeme ili kuainisha maeneno yenye kipaumbele.

Alisema wamepokea ushauri wote uliotolewa ikiwamo suala la baadhi ya vijiji na maeneo yenye taasisi nyeti kurukwa kutokana na kutokuwapo ushirikishwaji.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad