Steve Nyerere Afunguka Ishu ya Kusaliti Ndoa Yake na Kuzaa na Wellu Sengo....."Mimi ni Mwanaume Rijali"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Steve Nyerere Afunguka Ishu ya Kusaliti Ndoa Yake na Kuzaa na Wellu Sengo....."Mimi ni Mwanaume Rijali"
Muigizaji wa filamu bongo na mchekeshaji maarufu Steven Mengere maarufu kama Steve Nyerere, amefunguka juu ya tuhuma za kusaliti ndoa yake na kuzaa na muigizaji Wellu Sengo. Kitendo ambacho kimesababisha mke wake kuondoka nyumbani.


Akizungumza na www.eatv.tv, Steve Nyerere amesema kwamba yeye ni mwanaume rijali na kuzaa nje ya ndoa sio kitu cha ajabu, na mke wake wala hajaondoka kama watu wanavyodai kwenye mitandao ya kijamii

“Mke wangu yuko nyumbani, kakaa tuli katulia mtoto watu hana presha, kuna watu wangapi wamezaa nje!? Sasa mimi kwani sio mwanaume, kuna mwanaume mwenye kasoro duniani!? Labda shoga, mi ni mwanaume tena rijali, mwanaume ni yule anayeyimiza majukumu yake”, amesema Steve Nyerere.

Kutokana na hilo Steve Nyerere ametaka watu kuacha kujadili mambo yasiyo ya msingi kwenye mitandao ya kijamii na kueneza habari za uongo, na badala yake wafanye kazi kujiingizia kipato.



----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad