Thomas Ulimwengu Amesaini Sudan

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars aliyewahi kuvichezea vilabu vya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na club ya AFC Eskilstuna ya Sweden Thomas Ulimwengu baada ya kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu leo amepata timu.

Thomas Ulimwengu alikuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu akiuguza jereha lake la goti na baada ya kupona alijiunga na AFC Eskilstuna ya Sweden na kupata jeraha tena la goti liloendelea kumuweka nje ya uwanja tena kwa muda mrefu.

Leo Thomas Ulimwengu ameripotiwa kusaini mkataba wa mwaka mmoja na club ya Al Hilal ya Sudan, hiyo inakuja ikiwa zimepita siku chache toka zimalizike tetesi za kuwa alitaka kusaini club ya nchini Bosnia.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad