AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Marekani Donald Trump amekiri kuwa alirejesha fedha kwa wakili wake baada ya kumlipa nyota wa filamu za ngono Stormy Daniels ili kumzuia kufichua uhusiano wao.
Ofisi ya Maadili ya Serikali ya Marekani imegundua kuwa Trump huenda alifichua malipo hayo akitangaza matumizi ya fedha awali.
Matumizi hayo ya fedha yanaonyesha kuwa alimlipa Michael Cohen kwa matumizi ya fedha ya mwaka 2016 kati ya dola 100,001 na 250,000.
Malipo kwa Stormy Daniels yanaweza kuwa tatizo la kisheria kwa Rais Trump kwa sababu yanaweza kuonekana ni matumizi mabaya ya pesa za kampeni.
Donald na Storm
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK