Trump Kageuka Tena...Kasema Yupo Tayari Kwa Mazungumzo na Korea Kaskazini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Siku moja baada ya kusitisha mkutano wa ngazi ya juu na Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un Rais wa Marekani, Donald Trump amesema mkutano huo huenda ukafanyika kama ilivyopangwa awali.

Alhamisi Trump alitangaza kusitisha mkutano huo uliopangwa kufanyika June 12 huko Singapore akitaja kile alichokiita “hasira kubwa na uadui wa wazi” uliooneshwa hivi karibuni katika taarifa iliyotolewa na Korea Kaskazini.

Siku moja baadae, Trump ameonekana akilegeza msimamo. Ameandika katika ukurasa wake wa Twitter kuwa;

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad