AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamishna wa Uhamiaji, Uraia na Pasipoti, Gerald Kihinga amesema Mtanzania atakayepoteza hati ya kielekroniki ya kusafiria inayopatikana kwa Tsh. 150,000 atalazimika kulipa Tsh. 500,000 kupata mpya
Pia aliongeza kuwa iwapo ataipoteza tena hiyo aliyoipata kwa Tsh. 500,000 basi atalipa Tsh. 750,000 ili aweze kupata nyingine
Aliyasema hayo jana katika uzinduzi wa utoaji wa hati hizo ambapo tayari hati 15,101 zimeshatolewa kwa Watanzania tangu kuanza kwa utoaji huo Januari mwaka huu.
Kihinga amesema zipo kesi nyingi za watu kupoteza hati zao za kusafiria na baadhi yake ni zile zinazotokea katika matukio yasiyohitaji uwapo wake hati hizo hivyo gharama hiyo itasaidia watu kutunza hati zao
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK